Mwanzo 2:18
"Bwana Mungu akasema, si vema mtu huyu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye."
Familia ya Mch. Dr Daudi & Mrs Elizabeth Ndekeja
tunayo furaha na heshima kukukaribisha kuweza na kushiriki kwenye sherehe ya ndoa na harusi ya kijana wetu
John Ndekeja
na
Mariam Rodrick
Ndoa:
Juni 7, 2026 • Busanda SDA Church
Sherehe:
Juni 8, 2026 • Beroya SDA Church - Katoro, Geita
Njia za malipo:
- Jina la Akaunti Daudi Magumba Ndekeja
- Benki CRDB Bank Bariadi Branch
- A/C 0152482245300
Tunashukuru sana kwa maombi na mchango wako.